@jolynn_kids_fashion22
New arrival New arrivalš„
Wapenz wateja wetu dukani tumewaletea bidhaa nzuri za lishe kwa ajili ya watoto.
Ni unga Asilia wa uji wenye Almonds, korosho na Oats ambazo hazijakobolewa.
āUnaongeza uzito wa mtoto kwa Afya
āNi mlaini unaboresha mmeng'enyo wa chakula na kuondoa kifunga choo
āUna ladha nzuri sana na unaongeza hamu ya kula
āUna virutubisho muhimu sana kwa ajili ya ukuaji bora ubongo wa mtoto
āunabust kingamwili za mtoto kumfanya mtoto kuwa na afya bora.
Price tshs 13,000/=
Tunapatikana Dodoma Mlimwa C Mizigo tunatuma Mikoa yote kwa Uaminifu na kwa Uharaka.
Call/WhatsApp 0714 041 962