takeer.com

Takeer

Takeer - ๐— ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—š๐—”๐—ก๐—จ๐—ข ๐˜„๐—ฎ ๐—•๐—ถ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐—ถ:

โ—Tufanye umepata Seti hii ya yakuanzisha biashara ya usafi,fanya umekodi eneo ama uwe unafanya ...
takeer.com
@dotcomachinery
๐— ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—š๐—”๐—ก๐—จ๐—ข ๐˜„๐—ฎ ๐—•๐—ถ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐—ถ:

โ—Tufanye umepata Seti hii ya yakuanzisha biashara ya usafi,fanya umekodi eneo ama uwe unafanya self service unafuata watu majumbani kodi eneo kwa laki mbili kwa mwezi na ukanunua seti hii kwa TSH 2,700,000/=
โ€ขKwa kawaida ukiwa nna set hii unauweza wakufanya usafi mbalimbali kama vile:-
Kusafisha Mazulia,
-Sofa
-Peving Blocks
-Floor za Maukumbi
-Magodoro
-Madirisha
-House
nk
Na kila kitu utachosafisha katika hvo kina gharama yake kama mfano mazulia kusafisha ni elfu 10 au 15 au 20 mpaka 25 kulingana na ukubwa wa zulia au kitu unachotaka kusafishiwa na pia inategema na eneo ulipo mfano wewe unaosha mazulia kwa sh 7,000 au 8000 kulingana na ukubwa wa zulia na pia unaweza kuosha vitu vingine kama makochi,magodoro,floor nkโฃโฃโฃโฃโฃ

Tuache yote hayo jst tupige hesabu ya viwili tu(Zulia na Makochi set) tufanye kwa siku moja umeosha mazulia 5 tu na kila zulia umeliosha ipasavyo kwa kima cha chini kabisa ni TSH 7,000 tu so 7,000ร—6= 42,000 na tufanye umesafisha Makochi set moja tu kwa gharama ya 50,000x1 so kwa siku jumla ya pesa utakayopata ni 92,000 na kwa mwezi(siku26) ukiondoa jpili kwa mwezi utakuwa na TSH 2,392,000/= ukitoa gharama zote(kodi,mishahara,umeme,posho,maji) tuseme gharama zote ni 892,000 basi unabiki na ๐—™๐—”๐—œ๐——๐—” ๐—ก๐—˜๐—ง 1,500,000/= kila mwezi na kwa miezi sita tu ni 6,000,000/= je kwa mwaka mmoja unakuwa umepata kiasi gani??? Kumbuka hapo tumepiga hesabu kwenye zulia na makochi tu sasa ukiwa na mashine hizo unaweza Kufanya kazi nyingi sana zaidi kama kusafisha floor,pevings,magodoro,house,maholi ya sherahe, au malls,au supermarkets kubwakubwa nk nna uhakika ukiwa na set mwezi utavuna yaani utapata faidi ziaid nloiandika nna uhakika kwa set yako ya vitu vitatu kwa kila moja kwa wakati wake pia itakupa hela na kwa pamoja vyote pia vina uwezo wa kukupa hela ya mshahara mara tano na zaidi.
-๐Œ๐š๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐ž ๐ก๐ข๐ณ๐จ ๐ญ๐š๐ญ๐ฎ ๐ง๐ข
1)Blower kazi yake ni kukaushi mazulia,makochi au magodoro nk, na
2)Vacuum Cleaner 30lts kazi yake ni kunyonya vumbi,mchanga na maji kwenye zulia,au makochi au magodoro.
3)Floor Washer kazi yake ni kusugu Floor,Mazulia nk
takeer.com
takeer.com
takeer.com
takeer.com
Play
takeer.com
takeer.com
Play
takeer.com
Play